Swali: Kuomba ulinzi dhidi ya mambo manne haya ni jambo la wajibu au Sunnah?
Jibu: Kikosi cha wanazuoni wengi wanaona kuwa ni Sunnah. Imepokelewa kutoka kwa Twawuus ya kwamba alikuwa akimwamrisha mwanawe kuirudia swalah pale anapoiacha, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameyaamrisha:
“Anapoleta Tashahhud mmoja wenu basi aombe kinga kwa Allaah dhidi ya mambo manne… “
Kwa hivyo muumini anatakiwa asiyaache ingawa wanazuoni wengi wanayaona kuwa ni Sunnah. Hata hivyo anatakiwa asiyaache, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameyaamrisha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23780/هل-التعوذ-من-اربع-في-التشهد-واجب-ام-سنة
- Imechapishwa: 27/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)