Swali: Maneno yake ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa):
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
ilikuwa ni katika uhai wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Sahihi ni kwamba ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Maswahabah zake:
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Aliwafunza Maswahabah namna hii ilihali anajua kuwa anakufa na anajua kuwa wakati mwingine wanakuwa mbali naye.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23781/ما-الصواب-في-صيغة-السلام-في-التشهد
- Imechapishwa: 27/04/2024
Swali: Maneno yake ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa):
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
ilikuwa ni katika uhai wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Sahihi ni kwamba ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Maswahabah zake:
السلام عليك أيها النبي و رحمة الله و بركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yako, ee Mtume!”
Aliwafunza Maswahabah namna hii ilihali anajua kuwa anakufa na anajua kuwa wakati mwingine wanakuwa mbali naye.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23781/ما-الصواب-في-صيغة-السلام-في-التشهد
Imechapishwa: 27/04/2024
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndio-aliwafunza-maswahabah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)