Swali: Endapo imamu baada ya kutoa salamu atasema:
الله أكبر، الله أكبر
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
kisha ndio akasema:
أستغفر الله
“Naomba msamaha kwa Allaah.”?
Jibu: Ataanza kwa:
أستغفر الله، أستغفر الله، أستغفر الله، اللهم أنت السلام، ومنك السلام، تباركت يا ذا الجلال والإكرام
”Namuomba Allaah msamaha. Namuomba Allaah msamaha. Namuomba Allaah msamaha. Ee Allaah! Hakika wewe ndiye as-Salaam. Amani inatoka Kwako. Umebarikika, Ee Mwenye utukufu na ukarimu.”
Hivi ndivo alivokuwa akianza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Maneno yake katika Takbiyr?
Jibu: Takbiykr anakusudia:
سبحان الله
“Allaah ametakasika na mapungufu.”
Hadiyth zinafasiriana baadhi kwa nyengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23787/ما-الذي-يبدا-به-في-اذكار-الصلاة
- Imechapishwa: 27/04/2024
Swali: Endapo imamu baada ya kutoa salamu atasema:
الله أكبر، الله أكبر
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
kisha ndio akasema:
أستغفر الله
“Naomba msamaha kwa Allaah.”?
Jibu: Ataanza kwa:
أستغفر الله، أستغفر الله، أستغفر الله، اللهم أنت السلام، ومنك السلام، تباركت يا ذا الجلال والإكرام
”Namuomba Allaah msamaha. Namuomba Allaah msamaha. Namuomba Allaah msamaha. Ee Allaah! Hakika wewe ndiye as-Salaam. Amani inatoka Kwako. Umebarikika, Ee Mwenye utukufu na ukarimu.”
Hivi ndivo alivokuwa akianza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Maneno yake katika Takbiyr?
Jibu: Takbiykr anakusudia:
سبحان الله
“Allaah ametakasika na mapungufu.”
Hadiyth zinafasiriana baadhi kwa nyengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23787/ما-الذي-يبدا-به-في-اذكار-الصلاة
Imechapishwa: 27/04/2024
https://firqatunnajia.com/anaanza-kwa-istighfaar-anapomaliza-kuswali-badala-ya-takbiyr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)