Swali: Je, ni sharti kuwepo na maafikiano wakati wa kujeruhi?
Jibu: Hii ni kazi ya wale wanazuoni wa Hadiyth. Sio sharti kuwepo na maafikiano ya kwamba mtu fulani amejeruhiwa. Anayethibitisha anatangulizwa mbele kabla ya mwenye kupinga. Ambaye anasifu ni mwenye kupinga na ambaye anajeruhi ni mwenye kuthibitisha na ndiye ambaye anatakiwa kutangulizwa mbele.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://youtu.be/IGhkGC07Amk
- Imechapishwa: 10/11/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)