Swali: Utawaona watu wengi wakati wa mazishi wamekusanyika pembezoni mwa kaburi na wakizungumza. Hakuna utulivu wala faida ya kuhudhuria kwenye mazishi. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Huku ni kwenda kinyume na Sunnah. Katika hali kama hii mtu anatakiwa kufikiria mwisho wake na kusubiri kitachomfika na kujua kuwa mwisho wake ni kama walivyo maiti hawa. Hivi ndivyo inatakiwa kuwa hali ya mtu. Haitakiwi kuvutana wala kunyanyua sauti katika hali hii.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/169)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Utawaona watu wengi wakati wa mazishi wamekusanyika pembezoni mwa kaburi na wakizungumza. Hakuna utulivu wala faida ya kuhudhuria kwenye mazishi. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Huku ni kwenda kinyume na Sunnah. Katika hali kama hii mtu anatakiwa kufikiria mwisho wake na kusubiri kitachomfika na kujua kuwa mwisho wake ni kama walivyo maiti hawa. Hivi ndivyo inatakiwa kuwa hali ya mtu. Haitakiwi kuvutana wala kunyanyua sauti katika hali hii.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/169)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuvutana-mazishini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)