Swali: Kuna kaburi lililo nje ya mji ambalo kumeota mti juu yake. Ngamia inakuja kula kwenye mti huu na kulikanyaga kaburi kwa ajili hiyo wakawa wamelijengea kaburi hili ukuta. Je, inajuzu?
Jibu: Mti huu unatakiwa kukatwa kuanzia kwenye mizizi. Tukifanya hivo ngamia haitorudi na kwa ajili hiyo tutakuwa tumesalimika na shari yake. Kaburi linatakiwa kubaki kama lilivyo. Kujenga ukuta kwa ajili ya kulihifadhi inaweza kupelekea huko mbeleni watu wakaanza kufikiria kuwa alikuwa ni katika mawalii au mja mwema. Tahamaki nchi hii ije kufikwa na matatizo ya makaburi baada ya Allaah kuisafisha kupitia Imaam Muhammad bin ´AbdilWahhaab (Rahimahu Allaah).
Hivyo ni lazima kumfikishia khabari Qaadhiy kuhusu suala hilo na khaswa ikiwa kama utengenezaji uko kama chumba. Ni lazima uondoshwe. Ikiwa kaburi linakhofiwa basi lihamishwe kwenda sehemu nyingine.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/204)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Kuna kaburi lililo nje ya mji ambalo kumeota mti juu yake. Ngamia inakuja kula kwenye mti huu na kulikanyaga kaburi kwa ajili hiyo wakawa wamelijengea kaburi hili ukuta. Je, inajuzu?
Jibu: Mti huu unatakiwa kukatwa kuanzia kwenye mizizi. Tukifanya hivo ngamia haitorudi na kwa ajili hiyo tutakuwa tumesalimika na shari yake. Kaburi linatakiwa kubaki kama lilivyo. Kujenga ukuta kwa ajili ya kulihifadhi inaweza kupelekea huko mbeleni watu wakaanza kufikiria kuwa alikuwa ni katika mawalii au mja mwema. Tahamaki nchi hii ije kufikwa na matatizo ya makaburi baada ya Allaah kuisafisha kupitia Imaam Muhammad bin ´AbdilWahhaab (Rahimahu Allaah).
Hivyo ni lazima kumfikishia khabari Qaadhiy kuhusu suala hilo na khaswa ikiwa kama utengenezaji uko kama chumba. Ni lazima uondoshwe. Ikiwa kaburi linakhofiwa basi lihamishwe kwenda sehemu nyingine.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/204)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kulijengea-kaburi-ukuta-ili-kulilinda-na-wanyama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)