Swali: Ni ipi hukumu ya kutembea juu ya makaburi?
Jibu: Kutembea juu ya makaburi haijuzu kwa kuwa kuna kumtweza yule maiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyatia chokaa makaburi, kujenga na kuyaandika juu yake. Amesema kuhusu kukaa juu yake:
“Mmoja wenu kukaa juu ya kaa likaunguza nguo zake na likaingia mpaka kwenye ngozi yake ni bora kwake kuliko kukaa juu ya kaburi.”[1]
[1] Muslim (971).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/202)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket