Swali: Ni ipi hukumu ya kupiga picha za jua kwa ajili ya haja au mapambo?
Jibu: Kupiga picha viumbe vyenye roho ni haramu isipokuwa kwa vile vinavyopelekea katika dharurah. Kwa mfano kuchukua picha kwa ajili ya uraia, pasipoti, kuwachukua picha majambazi kwa ajili ya kuwadhibiti na kuwajua na kuwashikia hatua pale watapokuwa wamefanya jarima na wanataka kukimbia na mfano wa picha kama hizi ambazo mtu hana budi kuwa nazo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/454)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kupiga picha za jua kwa ajili ya haja au mapambo?
Jibu: Kupiga picha viumbe vyenye roho ni haramu isipokuwa kwa vile vinavyopelekea katika dharurah. Kwa mfano kuchukua picha kwa ajili ya uraia, pasipoti, kuwachukua picha majambazi kwa ajili ya kuwadhibiti na kuwajua na kuwashikia hatua pale watapokuwa wamefanya jarima na wanataka kukimbia na mfano wa picha kama hizi ambazo mtu hana budi kuwa nazo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/454)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kupiga-picha-viumbe-vyenye-roho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)