Swali: Kupiga picha kwa kutumia camera ni haramu au ni sawa kwa mwenye kufanya hivo?
Jibu: Ndio, kuchukua picha viumbe wenye roho kwa camera na kwa kutumia ala nyinginezo ni haramu. Ni juu ya ambaye alifanya hivo atubu kwa Allaah na amuombe msamaha na ajutie aliyoyafanya na asirudi tena kufanya hivo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/461)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Kupiga picha kwa kutumia camera ni haramu au ni sawa kwa mwenye kufanya hivo?
Jibu: Ndio, kuchukua picha viumbe wenye roho kwa camera na kwa kutumia ala nyinginezo ni haramu. Ni juu ya ambaye alifanya hivo atubu kwa Allaah na amuombe msamaha na ajutie aliyoyafanya na asirudi tena kufanya hivo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/461)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuchukua-picha-kwa-kutumia-camera/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)