Swali: Ni bora kujifunika wakati wa kuoga uchi?
Jibu: Hapana neno kuoga uchi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akioga uchi, Muusa alioga uchi na Ayyuub alioga uchi.
Swali: Mwenye kusema kuwa kuoga uchi inafaa lakini hata hivyo kujifunika ndio bora zaidi?
Jibu: Hapana. Hapana neno kuoga uchi. Kujifunika kunaweza kumtia uzito. Kwa sababu kujifunika kunaweza kuilowa nguo yake kwa maji.
Swali: Kwa hivyo hakuna vibaya?
Jibu: Jambo ni lenye usahali akiwa ndani ya chumba na hakuna yeyote anayemuona.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22301/هل-يشرع-التستر-حال-الاغتسال
- Imechapishwa: 09/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)