Swali: Je, ni sahihi kauli: “Jins-ul-´Amal” ni tamko la Bi´dah halikuwepo kwa Salaf; na ni tamko la utata yenye maana nyingi na ni bora kuiacha?
Jibu: Hatujui neno hili katika maneno ya wanazuoni wetu na wanazuoni wa Salaf. Sijui tofauti ya Jins-ul-´Amal na kitendo. Inasemwa “Kitendo” na si “Jins-us-´Amal”. Kunasemwa “Kitendo.” Kitendo ni katika imani. Imani ni kauli kwa ulimi na Itikadi katika moyo na vitendo vya mwili, na hawakusema “Jins-ul-´Amal.” Tamko hili halina msingi na huenda imetoka kwa Murji-ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majid%2021-03-1438H.mp3%2033.mp3.
- Imechapishwa: 03/04/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)