Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu akimposa mwanamke, akiweza kumwangalia yale yatayomvutia kumuoa, basi na afanye hivo.”[1]
Ni yepi ambayo inafaa kwa mposaji kuyatazama kwa mposwaji?
Jibu: Atazame uso wake na mikono yake. Hayo ndio ambayo yanafaa kwake.
Swali: Je, mwanamke anayo haki ya kuomba kumtazama mposaji?
Jibu: Ndio. Anayo haki ya kuomba kumtazama kama anamfaa au hamfai.
[1] Abu Daawuud (2082). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy i ”al-Irwaa’” (1791).Tazama ”as-Swahiyhah” (99).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 20/07/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Kumposa mwanamke aliyeachika mara tatu ndani ya eda
Swali: Ikiwa mwanamke ameshaachika talaka tatu mtu amwekee wazi juu ya kumposa ndani ya eda au amwashirie? Jibu: Ikiwa ameshaachika talaka tatu... bora zaidi ni kumwashiria. Kwa sababu sio wakati wa ndoa. Bado yuko ndani ya eda. Udhahiri wa dalili ni kuenea. Kwani bado yuko ndani ya wakati ambao ndoa…
In "Uchumba na uposaji"
Kumtazama mposwaji inakuwa kabla au baada ya posa?
Swali: Baada ya kuwekwa Shari´ah ya kumtazama yule mposwaji inakuwa kabla au baada ya posa? Jibu: Kabla ya posa. Aanze kumtazame; akimpendeza atamchumbia. Vinginevyo atamwacha.
In "Uchaguzi wa mke na mume"
Kujipura kwa ajili ya mposaji
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kujipodoa wakati mposaji anataka kumtazama? Jibu: Hapana, asijighushi. Huko ni kughushi.
In "Uchumba na uposaji"