Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu akimposa mwanamke, akiweza kumwangalia yale yatayomvutia kumuoa, basi na afanye hivo.”[1]
Ni yepi ambayo inafaa kwa mposaji kuyatazama kwa mposwaji?
Jibu: Atazame uso wake na mikono yake. Hayo ndio ambayo yanafaa kwake.
Swali: Je, mwanamke anayo haki ya kuomba kumtazama mposaji?
Jibu: Ndio. Anayo haki ya kuomba kumtazama kama anamfaa au hamfai.
[1] Abu Daawuud (2082). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy i ”al-Irwaa’” (1791).Tazama ”as-Swahiyhah” (99).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 20/07/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu akimposa mwanamke, akiweza kumwangalia yale yatayomvutia kumuoa, basi na afanye hivo.”[1]
Ni yepi ambayo inafaa kwa mposaji kuyatazama kwa mposwaji?
Jibu: Atazame uso wake na mikono yake. Hayo ndio ambayo yanafaa kwake.
Swali: Je, mwanamke anayo haki ya kuomba kumtazama mposaji?
Jibu: Ndio. Anayo haki ya kuomba kumtazama kama anamfaa au hamfai.
[1] Abu Daawuud (2082). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy i ”al-Irwaa’” (1791).Tazama ”as-Swahiyhah” (99).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 20/07/2024
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kumtazama-mposwaji-na-kinyume-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)