Swali: Nimefanya maktabah msikitini kwetu na nikafanya vitabu vilivyomo kuwa ni Waqf. Vimehamwa kwa miaka mingi. Je, inafaa kwangu kuviondosha na kuviweka Waqf mahali kwengine?
Jibu: Ikiwa watu hawanufaiki navyo huko, vihamishe mahali karibu zaidi ambapo watu watanufaika navyo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 20/07/2024
Swali: Nimefanya maktabah msikitini kwetu na nikafanya vitabu vilivyomo kuwa ni Waqf. Vimehamwa kwa miaka mingi. Je, inafaa kwangu kuviondosha na kuviweka Waqf mahali kwengine?
Jibu: Ikiwa watu hawanufaiki navyo huko, vihamishe mahali karibu zaidi ambapo watu watanufaika navyo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 20/07/2024
https://firqatunnajia.com/kuhamisha-vitabu-ambavyo-watu-hawanufaiki-navyo-mahali-kwengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)