Swali: Dada yangu anasoma kwa mmoja katika waalimu wa kike ambaye mara nyingi anamtukana Imaam Abu Haniyfah (Rahimahu Allaah), anasema kuwa amekosea na mengine mengi. Je, dada yangu aendelee kusoma kwake?
Jibu: Hapana, hapana. Usisome kwa ambaye anamtukana mmoja katika maimamu wa Ahl-us-Sunnah, kama vile Abu Haniyfah (Rahimahu Allaah). Ataathirika naye na kumuigiliza. Kwa hiyo haijuzu kwake kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 16/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)