Swali: Je, ni wajibu kwa mtu anayesumbuliwa na tawahudi kutekeleza zile swalah tano?
Jibu: Muda wa kuwa yuko na akili, ni wajibu kwake kuswali. Maadamu yuko na akili, ni lazima kwake kuswali swalah tano. Lakini ikiwa amepoteza akili, halazimiki kuziswali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 16/11/2023
Swali: Je, ni wajibu kwa mtu anayesumbuliwa na tawahudi kutekeleza zile swalah tano?
Jibu: Muda wa kuwa yuko na akili, ni wajibu kwake kuswali. Maadamu yuko na akili, ni lazima kwake kuswali swalah tano. Lakini ikiwa amepoteza akili, halazimiki kuziswali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 16/11/2023
https://firqatunnajia.com/swalah-na-tawahudi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)