Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kulala katika chumba kingine pasipo mume wake kutokana na watoto wake wadogo kwa sifa ya kila siku kwa hoja eti ya kazi na mwanamke anakereka na tabia hiyo?
Jibu: Muhimu ni kuwa analala katika hiyo nyumba ambayo yuko mwanamke huyo. Si lazima alale naye kwenye kitanda kimoja. Alale katika nyumba ya mwanamke huyo na awe karibu naye. Hiki ndio kinachotakikana. Lakini akilala naye katika kitanda kimoja ndio bora zaidi. Hata hivyo sio lazima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 13/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)