Swali: Ni ipi hukumu ya kukhitimisha Qur-aan ndani ya usiku mmoja?

Jibu: Ni sawa akiweza kufanya hivo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
  • Imechapishwa: 13/04/2023