Swali: Ni upi muda wa chini kabisa wa kukaa I´tikaaf?
Jibu: Hakuna kikomo cha muda uliopangwa. I´tikaaf haina muda wa chini kabisa wala wa juu kabisa. Ni jambo halikupokelewa katika Shari´ah kuweka kikomo cha muda.
Swali: Wako wanaosema kuwa ni saa moja?
Jibu: Ni jambo halina dalili. Katika muda hakuna chini ya saa moja? Jambo hilo ni kwa njia ya kupigia mfano.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21930/ما-اقل-وقت-للاعتكاف
- Imechapishwa: 14/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)