Swali: Je, anapata dhambi anayenyoa au kuzichonga ndevu zake kwa sababu ya kujipamba?

Jibu: Ndio, anapata dhambi. Hapana shaka yoyote juu ya hilo. Hayo ni maasi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

”Punguzeni masharubu na refusheni ndevu. Jitofautisheni na washirikina.”

Ni maasi kwenda kinyume na maamrisho.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21949/حكم-كد-اللحية-للتجمل-وما-شابهه
  • Imechapishwa: 14/01/2023