Swali: Vipi kwa mwenye kutaka kulipa I´tikaaf katika Shawwaal?
Jibu: Hapana vibaya. Ni jambo limefanywa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ikimkuia wepesi na akapenda kufanya I´tikaaf, ijapo sio laizma. Ni jambo linalopendeza.
Swali: Maalik amesema:
“Huku kwetu katika watu wa al-Madiynah hakuna anayetambulika kwa I´tikaaf isipokuwa Muhammad bin Abiy Bakr na mwingine mmoja.”
Jibu: Maalik ni mwanachuoni miongoni mwa wanachuoni. Hata hivyo sio hoja. Hoja ni kwa yale yaliyosemwa na Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21931/هل-يجوز-قضاء-الاعتكاف-في-شوال
- Imechapishwa: 14/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)