Swali: Kuna maulamaa wanaosema kwamba kama una uaminifu na mwanachuoni na ukamuomba fatwa, basi sio katika adabu kumuomba dalili pale anapokujibu midhali umemwamini. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Ndio. Mtu asiyekuwa msomi hahitajii kuomba dalili. Kwani huyu ni mtu wa kawaida. Hata hivyo mwanachuoni ndiye anaweza kuomba dalili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2019
Swali: Kuna maulamaa wanaosema kwamba kama una uaminifu na mwanachuoni na ukamuomba fatwa, basi sio katika adabu kumuomba dalili pale anapokujibu midhali umemwamini. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Ndio. Mtu asiyekuwa msomi hahitajii kuomba dalili. Kwani huyu ni mtu wa kawaida. Hata hivyo mwanachuoni ndiye anaweza kuomba dalili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
Imechapishwa: 21/04/2019
https://firqatunnajia.com/mtu-wa-kawaida-anaomba-dalili/