Swali: Kuna maulamaa wanaosema kwamba kama una uaminifu na mwanachuoni na ukamuomba fatwa, basi sio katika adabu kumuomba dalili pale anapokujibu midhali umemwamini. Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Ndio. Mtu asiyekuwa msomi hahitajii kuomba dalili. Kwani huyu ni mtu wa kawaida. Hata hivyo mwanachuoni ndiye anaweza kuomba dalili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket