Mtu wa kawaida anaomba dalili

Swali: Kuna maulamaa wanaosema kwamba kama una uaminifu na mwanachuoni na ukamuomba fatwa, basi sio katika adabu kumuomba dalili pale anapokujibu midhali umemwamini. Je, maneno haya ni sahihi?

Jibu: Ndio. Mtu asiyekuwa msomi hahitajii kuomba dalili. Kwani huyu ni mtu wa kawaida. Hata hivyo mwanachuoni ndiye anaweza kuomba dalili.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
  • Imechapishwa: 21/04/2019