Swali: Baadhi ya wanafunzi wanaeneza maoni ambayo hayakutangaa zinazohusiana na hukumu moja wapo ya Kishari´ah. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Watu kama hawa wanapata dhambi kubwa. Kwa sababu wanafuata fatwa zao na maneno yao. Mtu hatakiwi kuzungumza isipokuwa kwa elimu sahihi. Asiyekuwa na uwezo hatakiwi kuzungumza juu ya mambo ya kielimu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2019
Swali: Baadhi ya wanafunzi wanaeneza maoni ambayo hayakutangaa zinazohusiana na hukumu moja wapo ya Kishari´ah. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Watu kama hawa wanapata dhambi kubwa. Kwa sababu wanafuata fatwa zao na maneno yao. Mtu hatakiwi kuzungumza isipokuwa kwa elimu sahihi. Asiyekuwa na uwezo hatakiwi kuzungumza juu ya mambo ya kielimu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
Imechapishwa: 21/04/2019
https://firqatunnajia.com/wanafunzi-wanaoeneza-fatwa-zisizotambulika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)