Moja katika alama za al-Ikhwaan al-Muslimuun ni kutumia majina bandia yenye kuchupa mipaka. Wanaweza kuwaita watu kuwa ni wakomunisti na mengine kwa wale ambao hawakujiunga nao. Alama nyingine ni kwamba wanawakimbiza watu mbali na wanazuoni na kuwatia ujinga juu ya mambo ya kisasa. Wanayasema hayo juu ya Shaykh Ibn Baaz, Shaykh al-Albaaniy na wengineo.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 112
- Imechapishwa: 23/01/2025
Moja katika alama za al-Ikhwaan al-Muslimuun ni kutumia majina bandia yenye kuchupa mipaka. Wanaweza kuwaita watu kuwa ni wakomunisti na mengine kwa wale ambao hawakujiunga nao. Alama nyingine ni kwamba wanawakimbiza watu mbali na wanazuoni na kuwatia ujinga juu ya mambo ya kisasa. Wanayasema hayo juu ya Shaykh Ibn Baaz, Shaykh al-Albaaniy na wengineo.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 112
Imechapishwa: 23/01/2025
https://firqatunnajia.com/mtazamo-wa-al-ikhwaan-al-muslimuun-kwa-wanazuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)