Swali: Mtu anatakiwa kunyanyua mikono na kuomba du´aa hata kwenye mzunguko wa mwisho?
Jibu: Ndio, hata katika mzunguko wa mwisho katika Twawaaf na Sa´y. Sehemu zote mbili. Anatakiwa kunyanyua mikono yake na kuleta Takbiyr hata wakati wa mzunguko wa mwisho katika Twawaaf na vivyo hivyo wakati wa Sa´y kwenye Mawrah katika mzunguko wa mwisho atanyanyua mikono yake na kuomba du´aa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24995/حكم-رفع-اليدين-في-الدعاء-بالطواف-والسعي
- Imechapishwa: 23/01/2025
Swali: Mtu anatakiwa kunyanyua mikono na kuomba du´aa hata kwenye mzunguko wa mwisho?
Jibu: Ndio, hata katika mzunguko wa mwisho katika Twawaaf na Sa´y. Sehemu zote mbili. Anatakiwa kunyanyua mikono yake na kuleta Takbiyr hata wakati wa mzunguko wa mwisho katika Twawaaf na vivyo hivyo wakati wa Sa´y kwenye Mawrah katika mzunguko wa mwisho atanyanyua mikono yake na kuomba du´aa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24995/حكم-رفع-اليدين-في-الدعاء-بالطواف-والسعي
Imechapishwa: 23/01/2025
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-kwa-ajili-ya-duaa-katika-twawaaf-na-say/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)