Swali: Vipi ikiwa mswaliji atasimama kwa Rak´ah ya tatu kwa kusahau?
Jibu: Arudi; kwa sababu swalah ya usiku ni Rak´ah mbilimbili. Arejee na atatakiwa kusujudu sijda ya kusahau. Hili ni sawa na hali ambapo mtu atasimama katika Rak´ah ya tatu kwa kusahau katika Fajr au ijumaa, anapaswa pia kurudi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24878/حكم-القيام-لثالثة-في-التراويح-ساهيا
- Imechapishwa: 26/12/2024
Swali: Vipi ikiwa mswaliji atasimama kwa Rak´ah ya tatu kwa kusahau?
Jibu: Arudi; kwa sababu swalah ya usiku ni Rak´ah mbilimbili. Arejee na atatakiwa kusujudu sijda ya kusahau. Hili ni sawa na hali ambapo mtu atasimama katika Rak´ah ya tatu kwa kusahau katika Fajr au ijumaa, anapaswa pia kurudi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24878/حكم-القيام-لثالثة-في-التراويح-ساهيا
Imechapishwa: 26/12/2024
https://firqatunnajia.com/mswaliji-amesahau-akasimama-rakah-ya-tatu-katika-tarawiyh-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)