Swali: Rak´ah mbili baada ya ´Ishaa ni za Sunnah?
Jibu: Hizo ni za Sunnah ya Raatibah, Raatibah ya ´Ishaa. Ama kuhusu Witr inakuja baada ya hapo. Anaweza kuswali Rak´ah mbili kisha akaongeza Rak´ah moja kwa ajili ya Witr, au hapana vibaya anaweza kuswali pia Rak´ah moja tu. Ikiwa ataswali Rak´ah moja tu baada ya Rak´ah za Raatibah, tayari atakuwa amekamilisha Witr yake. Na ikiwa ataongeza, kama vile kuswali Rak´ah tatu, tano au zaidi, basi atapata thawabu zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24872/هل-الركعتان-بعد-العشاء-هما-السنة-الراتبة
- Imechapishwa: 26/12/2024
Swali: Rak´ah mbili baada ya ´Ishaa ni za Sunnah?
Jibu: Hizo ni za Sunnah ya Raatibah, Raatibah ya ´Ishaa. Ama kuhusu Witr inakuja baada ya hapo. Anaweza kuswali Rak´ah mbili kisha akaongeza Rak´ah moja kwa ajili ya Witr, au hapana vibaya anaweza kuswali pia Rak´ah moja tu. Ikiwa ataswali Rak´ah moja tu baada ya Rak´ah za Raatibah, tayari atakuwa amekamilisha Witr yake. Na ikiwa ataongeza, kama vile kuswali Rak´ah tatu, tano au zaidi, basi atapata thawabu zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24872/هل-الركعتان-بعد-العشاء-هما-السنة-الراتبة
Imechapishwa: 26/12/2024
https://firqatunnajia.com/ni-raatibah-ya-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)