Swali: Ikiwa mtu atakosa kuswali Witr hadi baada ya Fajr ni bora kuchelewesha?
Jibu: Aswali wakati wa Dhuhaa. Ikiwa atakosa Witr, basi anaweza kuswali wakati wa mchana; wakati wa Dhuhaa.
Swali: Je, anaweza kwa mfano akaswali baada ya adhaana?
Jibu: Hapana, hapana. Ikifika Subh muda wa Witr umemalizika. Hata hivyo muda mdogo ni wenye kusamehewa kwa mujibu wa baadhi ya wanazuoni. Hapana vibaya kuhusu muda mdogo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24879/ما-يفعل-من-فاته-الوتر-الى-وقت-صلاة-الفجر
- Imechapishwa: 26/12/2024
Swali: Ikiwa mtu atakosa kuswali Witr hadi baada ya Fajr ni bora kuchelewesha?
Jibu: Aswali wakati wa Dhuhaa. Ikiwa atakosa Witr, basi anaweza kuswali wakati wa mchana; wakati wa Dhuhaa.
Swali: Je, anaweza kwa mfano akaswali baada ya adhaana?
Jibu: Hapana, hapana. Ikifika Subh muda wa Witr umemalizika. Hata hivyo muda mdogo ni wenye kusamehewa kwa mujibu wa baadhi ya wanazuoni. Hapana vibaya kuhusu muda mdogo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24879/ما-يفعل-من-فاته-الوتر-الى-وقت-صلاة-الفجر
Imechapishwa: 26/12/2024
https://firqatunnajia.com/aliyekosa-swalah-ya-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)