Swali: Kuna hekima gani ya kuanza kisimamo cha usiku kwa Rak´ah mbili nyepesi?
Jibu: Allaah ndiye anayejua zaidi. Lakini huenda hekima yake ni kumwandaa mswaliji kwa muda mrefu wa kusoma Qur-aan na kufanya Rukuu´. Kwa maana nyingine kunamtia nguvu. Kwa sababu pengine yuko na udhaifu fulani. Kwa hivyo akiswali Rak´ah mbili fupi basi kumtia moyo na kumwandaa kwa swalah ndefu zinazofuata – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Hata hivyo sina maandiko ya moja kwa moja kuhusu hili, lakini inawezekana kuwa hii ndiyo sababu sahihi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24881/ما-الحكمة-في-استفتاح-القيام-بركعتين-خفيفتين
- Imechapishwa: 26/12/2024
Swali: Kuna hekima gani ya kuanza kisimamo cha usiku kwa Rak´ah mbili nyepesi?
Jibu: Allaah ndiye anayejua zaidi. Lakini huenda hekima yake ni kumwandaa mswaliji kwa muda mrefu wa kusoma Qur-aan na kufanya Rukuu´. Kwa maana nyingine kunamtia nguvu. Kwa sababu pengine yuko na udhaifu fulani. Kwa hivyo akiswali Rak´ah mbili fupi basi kumtia moyo na kumwandaa kwa swalah ndefu zinazofuata – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Hata hivyo sina maandiko ya moja kwa moja kuhusu hili, lakini inawezekana kuwa hii ndiyo sababu sahihi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24881/ما-الحكمة-في-استفتاح-القيام-بركعتين-خفيفتين
Imechapishwa: 26/12/2024
https://firqatunnajia.com/kuna-hekima-gani-ya-kuanza-kisimamo-cha-usiku-kw-rakah-mbili-fupi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)