Swali: Maamuma amejiunga na imamu katika Rak´ah ya pili na baadaye imamu akasimama katika Rak´ah ya tano pasi na kuzinduliwa. Maamuma akaingiwa na shaka. Wakati imamu alipomaliza Rak´ah ya tano ndipo akazinduliwa ambapo akasujudu sijda ya kusahau. Wakati alipokuwa katika hali hiyo ya kusujudu maamuma yule akasimama ili alipe Rak´ah moja.
Jibu: Asujudu sijda ya kusahau baada ya kulipa kile kilichompita ikiwa hakusujudu pamoja na imamu.
Swali: Kabla ya salamu au baada yake?
Jibu: Asujudu kabla ya salamu. Kufanya hivo ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22310/حكم-ماموم-فاتته-ركعة-وقام-الامام-لخامسة
- Imechapishwa: 02/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)