Swali: Je, ni miongoni mwa Sunnah baada ya kumaliza kumzika maiti mtu awaambie watu:
”Muombeeni ndugu yenu uthabiti”?
Jibu: Ndio. Mfano wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivokuwa akifanya:
”Muombeeni ndugu yenu msamaha na mumuombee uthabiti.”
Swali: Mtu aseme hivo mara moja moja au siku zote?
Jibu: Kinachotambulika ni kwamba alikuwa akisema hivo baada ya kumaliza kumzika maiti.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22312/حكم-قول-اسالوا-لاخيكم-التثبييت-بعد-الدفن
- Imechapishwa: 02/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)