Mkopo wa kuhiji au kufanya ´Umrah

Swali: Inasihi Hajj au ´Umrah ya ambaye amechukua deni?

Jibu: Ndio, inasihi. Hata hivyo haikusuniwa kwake kuchukua mkopo. Hajj na ´Umrah inakuwa wakati mtu yuko na uwezo. Asichukue mkopo kwa ajili ya kuhiji. Akiweza ashukuriwe Allaah. Vinginevyo ni mwenye kusamehewa na Allaah na asijikalifishe.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22851/ما-حكم-الاستدانة-للحج-او-العمرة
  • Imechapishwa: 08/09/2023