Swali: Inasihi Hajj au ´Umrah ya ambaye amechukua deni?
Jibu: Ndio, inasihi. Hata hivyo haikusuniwa kwake kuchukua mkopo. Hajj na ´Umrah inakuwa wakati mtu yuko na uwezo. Asichukue mkopo kwa ajili ya kuhiji. Akiweza ashukuriwe Allaah. Vinginevyo ni mwenye kusamehewa na Allaah na asijikalifishe.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22851/ما-حكم-الاستدانة-للحج-او-العمرة
- Imechapishwa: 08/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)