Swali: Nina mke wa pili ambaye tabia yake ni mkaidi na si mtiifu. Je, haya yananijuzishia mimi kumtomfanyia uadilifu na nikalala kwa yule mwingine siku zaidi kuliko kwa huyu?
Jibu: Akiwa ni mwasi haki yake inaanguka. Akiwa ni mwasi na wala hakutii basi haki yake inadondoka mpaka ajirudi na kutubu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)