Swali: Kuna mtu kila Ijumaa anatuma SMS ilio na Kauli ya Allaah (Subhaanah):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا |
“Hakika Allaah anamsifu Nabii. Na Malaika Wake pia [wanamuombea du’aa]. Enyi mlioamini mswalieni na msalimieni maamkizi ya amani.” (33:56) |
Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kufanya ni maalum kutuma Aayah hii kila Ijumaa?
Jibu: Ni jambo limeamrishwa kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kila Ijumaa. Ni bora kufanya hivo Ijumaa kuliko siku zingine. Pamoja na hivyo ninaonelea kuwa si jambo la sawa kuwatumia watu kwa njia zote zinazowezekana. Kwa sababu wanaweza kufikiria kuwa ni jambo la wajibu kwao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Kuna mtu kila Ijumaa anatuma SMS ilio na Kauli ya Allaah (Subhaanah):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Hakika Allaah anamsifu Nabii. Na Malaika Wake pia [wanamuombea du’aa]. Enyi mlioamini mswalieni na msalimieni maamkizi ya amani.” (33:56)
Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kufanya ni maalum kutuma Aayah hii kila Ijumaa?
Jibu: Ni jambo limeamrishwa kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kila Ijumaa. Ni bora kufanya hivo Ijumaa kuliko siku zingine. Pamoja na hivyo ninaonelea kuwa si jambo la sawa kuwatumia watu kwa njia zote zinazowezekana. Kwa sababu wanaweza kufikiria kuwa ni jambo la wajibu kwao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/meseji-ya-kumswalia-mtume-alayhis-salaam-kila-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)