Swali: Kuna wanafunzi wanaosema kuwa haitakikani kuzingatia masharti ya Ijtihaad yaliyowekwa na wanachuoni. Kwa sababu Maswahabah na Taabi´uun hawakuwa na sifa hizi zinazotajwa…
Jibu: Walikuwa ni wanafunzi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hawakuwa na vigezo hivi? Mtu anayechukua elimu moja kwa moja kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anakuwa hana vigezo hivi? Ametakasika Allaah! Ni maneno ya kipumbavu! Hawana vigezo? Wanafunzi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Taabi´uun wamesoma kwa Maswahabah. Walikuwa wanafunzi wao. Hawakuwa na vigezo? Wewe si lolote ukilinganishwa na wao. Huna hata elimu ilio sawa na sandala zao. Vipi unaweza kuzungumza namna hii na kusema kuwa wanachuoni wana makosa?
Unayezungumza namna hii; wewe ni kama Imaam Abu Haniyfah, Imaam Maalik, Imaam ash-Shaafi´iy na Imaam Ahmad? Je, wewe ni kama wao? Hawa ndio Mujtahiduun kwa kuwa wana masharti ya Ijtihaad.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Kuna wanafunzi wanaosema kuwa haitakikani kuzingatia masharti ya Ijtihaad yaliyowekwa na wanachuoni. Kwa sababu Maswahabah na Taabi´uun hawakuwa na sifa hizi zinazotajwa…
Jibu: Walikuwa ni wanafunzi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hawakuwa na vigezo hivi? Mtu anayechukua elimu moja kwa moja kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anakuwa hana vigezo hivi? Ametakasika Allaah! Ni maneno ya kipumbavu! Hawana vigezo? Wanafunzi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Taabi´uun wamesoma kwa Maswahabah. Walikuwa wanafunzi wao. Hawakuwa na vigezo? Wewe si lolote ukilinganishwa na wao. Huna hata elimu ilio sawa na sandala zao. Vipi unaweza kuzungumza namna hii na kusema kuwa wanachuoni wana makosa?
Unayezungumza namna hii; wewe ni kama Imaam Abu Haniyfah, Imaam Maalik, Imaam ash-Shaafi´iy na Imaam Ahmad? Je, wewe ni kama wao? Hawa ndio Mujtahiduun kwa kuwa wana masharti ya Ijtihaad.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/mwanafunzi-asiyekuwa-sawa-na-viatu-vya-wanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)