Swali: Vipi ikiwa aliye upande wa kulia ni mdogo na aliye upande wa kushoto ndiye mkubwa?
Jibu: Amuombe idhini. Vinginevyo ampe aliye upande wa kulia hata kama ni mdogo. Kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimpa Ibn ´Abbaas kinywaji na akawaacha watuwazima. Isipokuwa ikiwa atamuomba idhini yule mdogo aliye upande wa kulia kwamba awape walioko upande wa kushoto. Katika hali hiyo hapana vibaya.
Swali: Katika kikao aanze na mkubwa au upande wa kulia akiingia na udi na chai?
Jibu: Aanze na kiongozi wa kikao. Aanze na yule mkubwa kisha ampe aliye upande wa kulia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23247/حكم-البدء-بمن-على-اليمين-لو-كان-صغيرا
- Imechapishwa: 11/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)