Swali: Anayemsengenya mtu ambaye hajulikani kwa yule msikilizaji au akamtaja jina lake lakini msikilizaji hamjui?
Jibu: Hata kama. Usengenyi haujuzu:
وَلَا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا
“Na wala wasisengenyane baadhi yenu wengineo.”[1]
Haijuzu muda wa kuwa kamtaja.
Swali: Akisema ´watu wa mji fulani` au ´wengi wa watu` inazingatiwa kuwa usengenyi?
Jibu: Asiyetambulika haizingatiwi ni usengenyi. Ukisema ´baadhi ya watu wanafanya hivi, baadhi ya wanaume wanafanya hivi` hauzingatiwi ni usengenyi.
[1] 49:12
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23253/هل-تجوز-غيبة-رجل-غير-معروف-للسامع
- Imechapishwa: 11/12/2023
Swali: Anayemsengenya mtu ambaye hajulikani kwa yule msikilizaji au akamtaja jina lake lakini msikilizaji hamjui?
Jibu: Hata kama. Usengenyi haujuzu:
وَلَا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا
“Na wala wasisengenyane baadhi yenu wengineo.”[1]
Haijuzu muda wa kuwa kamtaja.
Swali: Akisema ´watu wa mji fulani` au ´wengi wa watu` inazingatiwa kuwa usengenyi?
Jibu: Asiyetambulika haizingatiwi ni usengenyi. Ukisema ´baadhi ya watu wanafanya hivi, baadhi ya wanaume wanafanya hivi` hauzingatiwi ni usengenyi.
[1] 49:12
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23253/هل-تجوز-غيبة-رجل-غير-معروف-للسامع
Imechapishwa: 11/12/2023
https://firqatunnajia.com/kumsengenya-mtu-ambaye-hatambuliwi-kwa-msimuliwaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)