334 – Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Kulitajwa mbele ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kitunguu saumu, kitunguu maji na figili, kukasemwa: “Ee Mtume wa Allaah, mbaya zaidi katika yote hayo ni kitunguu saumu. Je, unaiharamisha?” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
كلوه، مَن أكله منكم فلا يقربْ هذا المسجدَ، حتى يذهبَ ريحُه منه
“Kuleni, lakini yule katika nyinyi atakayevila basi asikurubie msikiti huu mpaka imwondoke harufu yake.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/255)
- Imechapishwa: 11/12/2023
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
334 – Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Kulitajwa mbele ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kitunguu saumu, kitunguu maji na figili, kukasemwa: “Ee Mtume wa Allaah, mbaya zaidi katika yote hayo ni kitunguu saumu. Je, unaiharamisha?” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
كلوه، مَن أكله منكم فلا يقربْ هذا المسجدَ، حتى يذهبَ ريحُه منه
“Kuleni, lakini yule katika nyinyi atakayevila basi asikurubie msikiti huu mpaka imwondoke harufu yake.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/255)
Imechapishwa: 11/12/2023
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-kulitajwa-mbele-ya-mtume-wa-allaah-kitunguu-saumu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)