Swali: Ni ipi hukumu ya kumuuzia mshirikina nguo ya hariri?
Jibu: Maoni sahihi kwa mtazamo wangu ni kwamba haijuzu. Asisaidie katika batili. Imepokelewa kwamba ´Umar alikuwa akiwatumia hariri baadhi ya jamaa zake katika makafiri. Lakini pengine alikuwa akifanya hivo ili zivaliwe na wake zao.
Swali: Haifahamishi kuwa inafaa?
Jibu: Hapana, haiko wazi. Pengine alikusudia zivaliwe na wake zao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23294/حكم-بيع-ثوب-الحرير-الى-الرجل-المشرك
- Imechapishwa: 22/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)