Swali: Katika mji wangu kuna masanamu yanayoabudiwa badala ya Allaah. Je, niyavunje usiku wakati ambapo hakuna yeyote anayeniona…
Jibu: Hapana, haijuzu kufanya hivo. Hakuna mwenye kuyavunja isipokuwa mtawala peke yake. Wajibu wako ni kukataza shirki, wabainishie watu na mshauri mtawala ayaondoshe. Ni mtawala peke yake ndiye mwenye kutakiwa kuyaondosha. Ukiyavunja usiku watakuua mchana na kujenga mazuri zaidi kuliko yaliyokutwa. Lakini hata hivyo hawatoweza kufanya hivo wala kupinzana ikiwa mtawala ndio atayavunja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%2025%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)