Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika picha msikitini?
Jibu: Haijuzu kutundika picha; si msikitini wala nyumbani. Hata nyumbani haijuzu. Ni mamoja picha ya mtu au ya mnyama.
Swali: Vipi kuhusu magazeti ya khabari?
Jibu: Hapana, haijuzu. Akiwa na picha afute kichwa chake na wala asiitundike juu ya ukuta.
Swali: Baadhi ya watu wanatundika picha za mafukara na wanaweka ujumbe wenye kusema “toeni swadaqah” na wanaandika Aayah zinazohimiza kutoa swadaqah.
Jibu: Hapana, haijuzu. Ahimize kutoa swadaqah bila picha. Ahimize mafukara kusaidiwa bila kuweka picha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22593/ما-حكم-تعليق-الصورة-في-المسجد
- Imechapishwa: 07/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)