Yule aliyekusudia kuchinja katika ´Iydh-ul-Adhwhaa basi zinapoingia tu zile siku [kumi za mwanzo] za Dhul-Hijjah basi haifai kwake kukata chochote katika nywele na kucha zake isipokuwa mpaka baada ya kuchinja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Zitapoingia zile siku kumi [za Dhul-Hijjah] na akataka mmoja wenu kuchinja, basi asichukue/asikate kutoka katika nywele wala kucha zake chochote mpaka achinje kwanza.”[1]
Akifanya chochote katika hayo basi amwombe msamaha Allaah na wala halazimiki kutoa fidia.
[1]Muslim.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mulakhaswsw-ul-Fiqh (01/151)
- Imechapishwa: 12/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket