Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya aliyekuwa nyama ya ngamia na yeye anaona kuwa haichengui wudhuu´?
Jibu: Hapana neno. Aitakidi kusihi kwa swalah yake.
Swali: Hapana vibaya kuswali nyuma yake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Ni mambo ambayo wanazuoni wamekinzana kwayo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23346/حكم-الصلاة-خلف-من-اكل-لحم-الابل
- Imechapishwa: 30/12/2023
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya aliyekuwa nyama ya ngamia na yeye anaona kuwa haichengui wudhuu´?
Jibu: Hapana neno. Aitakidi kusihi kwa swalah yake.
Swali: Hapana vibaya kuswali nyuma yake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Ni mambo ambayo wanazuoni wamekinzana kwayo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23346/حكم-الصلاة-خلف-من-اكل-لحم-الابل
Imechapishwa: 30/12/2023
https://firqatunnajia.com/kuswali-nyuma-ya-anayeona-kuwa-nyama-ya-ngamia-haichengui-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)