Swali: Je, kumepokelewa kitu kuhusu kusimama kwa ajili ya mtumzima? Je, kufanya hivo ni heshima?
Jibu: Hapana vibaya kusimama kwa ajili yake na kupeana mkono. Wakati Ka´b bin Maalik alipoingia baada ya Allaah kumkubalia tawbah yake basi Twalhah bin ´Ubaydillaah alimsimamia kwa ajili ya kumkimbilia na kumpa mkono. Aidha wakati Sa´d bin Mu´aadh alipokuja ili ahukumu kati ya Banuu Quraydhwah Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Simameni kwa ajili ya bwana wenu.”
Walisimama kwa ajili yake, wakapeana mkono na wakamshusha kutoka katika kipando chake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23348/هل-يجوز-القيام-للشخص-لسنه-او-مكانته
- Imechapishwa: 30/12/2023
Swali: Je, kumepokelewa kitu kuhusu kusimama kwa ajili ya mtumzima? Je, kufanya hivo ni heshima?
Jibu: Hapana vibaya kusimama kwa ajili yake na kupeana mkono. Wakati Ka´b bin Maalik alipoingia baada ya Allaah kumkubalia tawbah yake basi Twalhah bin ´Ubaydillaah alimsimamia kwa ajili ya kumkimbilia na kumpa mkono. Aidha wakati Sa´d bin Mu´aadh alipokuja ili ahukumu kati ya Banuu Quraydhwah Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Simameni kwa ajili ya bwana wenu.”
Walisimama kwa ajili yake, wakapeana mkono na wakamshusha kutoka katika kipando chake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23348/هل-يجوز-القيام-للشخص-لسنه-او-مكانته
Imechapishwa: 30/12/2023
https://firqatunnajia.com/kusimama-kwa-ajili-ya-mtumzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)