Swali: Vipi ikiwa maiti aliye katika Ihraam atafunikwa kwa sanda ya kawaida?
Jibu: Watafunika kichwa chake siyo?
Swali: Ndiyo, walifunika kichwa chake kwa sanda ya kawaida na si kwa Ihraam?
Jibu: Si jambo la mbali. Ikiwa hayo yamefanyika si muda mrefu sana, basi hapana vibaya kufukuliwa na kichwa chake kiondolewe kufuniko. Lakini ikiwa muda mrefu umeshapita, hakuna haja ya kufanya hivyo. Hata hivyo ikiwa bado ni mapema na mwili haujabadilika, basi hakuna kizuizi cha kuondoa sanda kichwani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24962/حكم-تكفين-الميت-المحرم-في-الثياب-المعتادة
- Imechapishwa: 13/01/2025
Swali: Vipi ikiwa maiti aliye katika Ihraam atafunikwa kwa sanda ya kawaida?
Jibu: Watafunika kichwa chake siyo?
Swali: Ndiyo, walifunika kichwa chake kwa sanda ya kawaida na si kwa Ihraam?
Jibu: Si jambo la mbali. Ikiwa hayo yamefanyika si muda mrefu sana, basi hapana vibaya kufukuliwa na kichwa chake kiondolewe kufuniko. Lakini ikiwa muda mrefu umeshapita, hakuna haja ya kufanya hivyo. Hata hivyo ikiwa bado ni mapema na mwili haujabadilika, basi hakuna kizuizi cha kuondoa sanda kichwani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24962/حكم-تكفين-الميت-المحرم-في-الثياب-المعتادة
Imechapishwa: 13/01/2025
https://firqatunnajia.com/kumvika-sanda-ya-kawaida-muhrim/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)