Swali: Vipi tutaonisha kati ya utumiaji wa ´Aaishah wa manukato ilhali wanawake wamekatazwa kutumia manukato?
Jibu: Manukato yasiyodhuru ni yale ambayo harufu yake haihisiki waziwazi kwa watu. Wanawake wanaweza kutumia manukato wanapokuwa peke yao na hawako mbele ya wanaume. Manukato yanayokatazwa ni yale yanayojulikana kwa harufu yake kwenye masoko, kati ya watu au mbele ya wanaume.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24960/ما-الذي-يسمح-به-من-الطيب-للنساء
- Imechapishwa: 13/01/2025
Swali: Vipi tutaonisha kati ya utumiaji wa ´Aaishah wa manukato ilhali wanawake wamekatazwa kutumia manukato?
Jibu: Manukato yasiyodhuru ni yale ambayo harufu yake haihisiki waziwazi kwa watu. Wanawake wanaweza kutumia manukato wanapokuwa peke yao na hawako mbele ya wanaume. Manukato yanayokatazwa ni yale yanayojulikana kwa harufu yake kwenye masoko, kati ya watu au mbele ya wanaume.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24960/ما-الذي-يسمح-به-من-الطيب-للنساء
Imechapishwa: 13/01/2025
https://firqatunnajia.com/manukato-ya-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)