Swali: Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
إِن تَتُوبَا إِلَى اللَّـهِ فَقَدْ صَغَتْ قُلُوبُكُمَا
“Ikiwa wawili nyinyi mtatubia kwa Allaah, basi hakika nyoyo zenu zimeelemea.”[1]
Kisha baada ya hapo akasema:
عَسَىٰ رَبُّهُ إِن طَلَّقَكُنَّ أَن يُبْدِلَهُ أَزْوَاجًا خَيْرًا مِّنكُنَّ مُسْلِمَاتٍ مُّؤْمِنَاتٍ قَانِتَاتٍ تَائِبَاتٍ عَابِدَاتٍ سَائِحَاتٍ ثَيِّبَاتٍ وَأَبْكَارًا
“Akikutalikini, basi wajibu kwa Mola Wake kumbadilishia wake bora kuliko nyinyi; waislamu, waumini, watiifu na wanyenyekevu, wanaotubia, wafanya ‘ibaadah, wafungao na wanaohajiri, wajane na mabikra.”[2]
Je, hapa kuna dalili ya kufaa kumtishia talaka mwanamke?
Jibu: Ndio. Mume ni mwenye kumiliki talaka. Hapana neno akimtishia. Pengine kufanya hivo kukamnyoosha.
[1] 66:04
[2] 66:05
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22366/ما-حكم-التهديد-بالطلاق
- Imechapishwa: 24/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)