Swali: Makatazo ya kusema uwongo katika utani ni kwa njia ya machukizo au uharamu?

Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Ole wa yule mwenye kuzungumza akadanganya ili awachekeshe watu! Ole wake! Kisha ole wake!”

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22362/ما-حكم-الكذب-في-المزاح
  • Imechapishwa: 24/02/2023