Swali: Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَاضْرِبُوهُنَّ
“… na wapigeni.”
Jibu: Ni kwa njia ya ruhusa:
وَاللَّاتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَاهْجُرُوهُنَّ فِي الْمَضَاجِعِ وَاضْرِبُوهُنَّ
“Na wale ambao mnachelea uasi wao wa ndoa, basi wanasihini na wahameni katika malazi na wapigeni.”[1]
Swali: Ni kamilifu zaidi kutowapiga?
Jibu: Ndio. Ikiwa kumtengeza pasi na kumpiga ndio bora zaidi.
Swali: Kusamehe wakati wa mtu kutokuwa na uwezo?
Jibu: Huko hakuitwi kusamehe. Ni kushindwa. Kusamehe kunakuwa pale mtu anapokuwa na uwezo. Lakini asipokuwa na uwezo kunaitwa kushindwa.
[1] 04:34
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22376/ما-معنى-قوله-تعالى-واضربوهن
- Imechapishwa: 24/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)